Wakamatwa na dawa za kulevya Airport Dar 

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Viwanja vya Ndege Tanzania ACP Jeremia Shila

Watu wawili wakazi wa Dar es Salaam, wamekamatwa na Jeshi la Polisi Kikosi cha Viwanja vya Ndege, baada ya kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, baada ya kuwasili na ndege ya Fly Dubai wakitokea nchini India.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS