Ruvu Shooting kuamua hatma ya Morocco na Kaaya
Namungo FC kupitia Kamati ya Utendaji imefikia makubaliano ya kuwapa mtihani wa mwisho Kocha Mkuu Hemed Suleiman maarafu kama Morocco na Afisa Mtendaji Mkuu wa Omary Kaaya, baada ya kikosi cha klabu hiyo kufanya vibaya kwenye michezo ya Ligi Kuu ya hivi karibuni.