Sababu ya Rais wa Msumbiji kuja nchini yatajwa Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi, atawasili nchini hii leo Januari 11, 2021, katika ziara yake ya siku mbili wilayani Chato yenye lengo la kudumisha undugu baina ya nchi ya Tanzania na Msumbiji. Read more about Sababu ya Rais wa Msumbiji kuja nchini yatajwa