Sababu ya Rais wa Msumbiji kuja nchini yatajwa

Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi, atawasili nchini hii leo Januari 11, 2021, katika ziara yake ya siku mbili wilayani Chato yenye lengo la kudumisha undugu baina ya nchi ya Tanzania na Msumbiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS