Rais wa Msumbiji aeleza alivyoona dhahabu Chato

Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi

Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi, amesema kuwa leo mara baada ya kufika katika anga la Chato, aliona mashimo mengi chini ikiwa ni kiashirio cha uchimbaji wa dhahabu na kusema kuwa Geita ni mkoa tajiri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS