Rais wa Msumbiji aeleza alivyoona dhahabu Chato Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi, amesema kuwa leo mara baada ya kufika katika anga la Chato, aliona mashimo mengi chini ikiwa ni kiashirio cha uchimbaji wa dhahabu na kusema kuwa Geita ni mkoa tajiri. Read more about Rais wa Msumbiji aeleza alivyoona dhahabu Chato