Msako mkali kwa wanaowatumia walemavu
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu, Ummy Nderiananga amesema wataendelea na msakao wa watu wanaowatumia walemavu katika vitendo vya kuwadhahlilisha mpaka watakapo hakikisha wahusika wanofanya vitendo hivyo wanaacha kabisa.