Kauli ya serikali kuhusu uhaba wa mafuta ya kula
Waziri wa Viwanda na Biashara, Geoffrey Mwambe, amewahakikishia wananchi kuwa hali ya upatikanaji wa mafuta ya kula itatengemaa mara baada ya kuanza upakuaji wa mafuta ya kula yanayoingizwa kutoka nje ya nchi kupitia bandari ya Dar es Salaam.