'Spurs Itashangaza wengi msimu huu'' - Mourinho

Kocha mwenye maneno mengi Jose Mourinho

Kocha  wa Totternham Hotspurs, Mreno Jose Mourinho amesema timu yake itawashangaza wengi msimu huu, kwa kuanza kunyakua mataji mbalimbali England akianza na kombe la Carabao, ambalo ameingia fainali jana baada ya kuwafunga 2-0 Brentford.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS