Ijue sababu ya akili za watu kuota vitambi
Mhamasishaji Paul Mashauri, amesema kuwa akili za watu wengi kwa sasa zimeota vitambi kwa sababu wanaruhusu milango yao ya fahamu ipitishe kila kitu wanachokisikia, hali inayopelekea ubongo wao kuwa na uchafu mwingi.