"8% tu wanatimiza malengo 92% wanafeli" - Nanauka

Mhamasishaji Joel Nanauka

Kumekuwa na desturi ambayo kila mwaka mpya unapoingia watu huelezea mipango yao na malengo yao ya kufanya ili kuweza kutoboa kwenye maisha ila kwa bahati mbaya malengo hayo huwa hayawafanikiwi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS