"8% tu wanatimiza malengo 92% wanafeli" - Nanauka Mhamasishaji Joel Nanauka Kumekuwa na desturi ambayo kila mwaka mpya unapoingia watu huelezea mipango yao na malengo yao ya kufanya ili kuweza kutoboa kwenye maisha ila kwa bahati mbaya malengo hayo huwa hayawafanikiwi. Read more about "8% tu wanatimiza malengo 92% wanafeli" - Nanauka