Wawili wakutwa na COVID-19 Barcelona

Uwanja wa Barcelona, Nou Camp.

Klabu ya Barcelona ya nchini Uhispania imethibitisha kuwa maafisa wake wawili wamekukutwa na COVID-19 usiku wa kuamkia leo Januari 5, 2021, baada ya kufanyiwa vipimo kuelekea mchezo wao wa ligi kuu 'La Liga' dhidi ya Athletic Bilbao unaotaraji kuchezwa kesho saa 5:00 usiku tarehe 6 Januari

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS