Hamis wa BSS amlilia Harmonize "Naomba anisamehe"

Kulia ni Harmonize kushoto ni Hamis Bss

Ni 'headlines' za Hamis wa BSS msanii aliyejipatia umaarufu kupitia mashindano ya kusaka vipaji Bongo, ameonekana kumwaga machozi kwa boss wa lebo ya Konde Gang Harmonize huku akitaka msaada kutoka kwa msanii huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS