''Samatta hakupewa huduma Aston Villa'' -Mark Mbwana Ally Samatta akishangilia moja ya goli aliyofunga akiwa na Aston Villa Shabiki wa kutupwa wa klabu ya soka ya Aston Villa, Bwana Mark amesema Mbwana Ally Samatta alikuwa mchezaji mzuri sana, nao kama mashabiki walimpenda sana. Read more about ''Samatta hakupewa huduma Aston Villa'' -Mark