Hizi ndizo ahadi za Magufuli baada ya kuapishwa

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akila kiapo cha Urais kwa muhula wa pili.

Rais John Magufuli baada ya kuapishwa leo tarehe 5 Novemba katika Viwanja vya Jamhuri, Jijini Dodoma  amepata wasaa wa kuzungumza na halaiki katika hafla hiyo ambapo hotuba yake imejikita katika masuala mbalimbali kama ajira, miradi ya maendeleo pamoja na usimamiaji thabiti wa rasimali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS