Alichosema Hakimu Thomas Simba kesi ya Tundu Lissu
Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Thomas Simba, ameahirisha kesi inayomkabili Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA,Tundu Lissu na wenzake ya kuchapisha habari ya uchochezi kinyume na Sheria ya Magazeti kwa kile alichokieleza kuwa anaimani tarehe nyingine