Yanayoendelea Marekani
Kuelekea kilele cha Uchaguzi nchini Marekani ambapo Marekani imekuwa ikisaidia nchi za Kiafrika katika masuala ya kukuza demokrasia na maendeleo, nchi za kiafrika zinapaswa kujifunza kuwa na demokrasia iliyokomaa na yenye uwazi.