Mwinyi Zahera kuhusu watakavyoikabili Yanga

Mkurugenzi wa ufundi wa Gwambina, Mwinyi Zahera(Pichani) akizungumza na EATV.

Kocha wa zamani wa Yanga, Mwinyi Zahera ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa ufundi wa Gwambina amesema licha ya kuwa aliwahi kufanya kazi kwa wanajangwani hao haitoshi kuwafanya washinde kirahisi katika mchezo wa leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS