Tandale waomba ujenzi wa soko kuharakishwa Picha ya soko la Tandale Wafanyabiashara wa nafaka katika soko la Tandale wameiomba Serikali kuharakisha ujenzi wa soko hilo ili kuondokana na ufinyu wa nafasi na adha ya mafuriko pindi mvua zinaponyesha. Read more about Tandale waomba ujenzi wa soko kuharakishwa