Azam yaelekea Morogoro kuikabili Mtibwa

Nyota wa Azam Never Tegere (Wa kwanza kushoto), Obrey Chirwa( wa pili kutoka kushoto), Iddi Seleman Nado(Wa pili kutoka kulia) na nahodha Aggrey Moris( wa kwanza kulia) wakiwa katika picha ya pamoja.

Kikosi cha wachezaji 22 cha Azam FC kimeondoka Dar mchana wa leo kuelekea Morogoro ajili ya mchezo wa raundi ya 8 dhidi ya Mtibwa Sugar utakaochezw Oktoba 26 mwaka huu kwenye uwanja wa Jamhuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS