Viwanja vinne vya Ndege kukarabatiwa
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dotto James amewaagiza wakandarasi waliopewa kazi ya ujenzi wa viwanja vya ndege katika mikoa 4 kuhakikisha kwamba ujenzi huo unamalizika kwa wakati kama mkataba unavyowaelekeza na serikali itafuatilia kwa karibu ili kusitokee suala la kuongeza muda.