Viwanja vinne vya Ndege kukarabatiwa

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dotto James.

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dotto James amewaagiza wakandarasi waliopewa kazi ya ujenzi wa viwanja vya ndege katika mikoa 4 kuhakikisha kwamba ujenzi huo unamalizika kwa wakati kama mkataba unavyowaelekeza na serikali itafuatilia kwa karibu ili kusitokee suala la kuongeza muda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS