Rostam anunua National Media Group
Mfanyabiashara Mtanzania, Rostam Azizi rasmi sasa anakuwa mbia mkuu wa kampuni ya habari ya Nation Media Group (NMG) baada ya kampuni ya Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) kutangaza kuuza hisa zake zote zilizokuwa zikimilikiwa katika kampuni hiyo.

