Fantan Mojah afariki Dunia akiwa na miaka 49 Msanii wa Reggae kutoka Jamaica, Fantan Mojah (Owen Moncrieffe), amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 49, taarifa iliyowashtua mashabiki na wadau wa muziki duniani. Read more about Fantan Mojah afariki Dunia akiwa na miaka 49