Jaji Mkuu aishauri serikali

Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma ameishauri Serikali kuishirikisha Mahakama kwenye mipango yake ya uanzishaji wa maeneo mapya ya kiutawala ili kupunguza changamoto za upatikanaji wa haki kwa wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS