Usain Bolt asaini kucheza Soka Bingwa wa zamani wa dunia wa mbio za mita 100 Mjamaica Usain Bolt, leo amesaini mkataba wa kushiriki kwenye mechi ya soka inayoandaliwa na UNICEF SOCCER AID mwezi Juni. Read more about Usain Bolt asaini kucheza Soka