Yanga na Simba wapewa angalizo
Waziri wa Habari, Sanaa Utamaduni na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe amezishangaa klabu kongwe za Tanzania, Simba na Yanga kushindwa kumiliki viwanja vyao vyenyewe vya kimichezo licha ya kuwa na umri mrefu vilabu hivyo.

