Rama Dee aleta 'furaha'

Mkali  wa R&B na mshindi wa tuzo mbalimbali, Rama Dee, aliyetamba na ngoma kali kama ‘kuwa na subira’, ‘Kipenda roho, na nyinginezo kibao, ameamua kufungua mwaka 2018 kwa kitu cha tofauti kabisa kinachokwenda kwa jina la ‘FURAHA YETU’.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS