Sugu aitwa Polisi, ahojiwa

Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA), Joseph Mbilinyi (Sugu)  pamoja na Katibu wa Chadema, Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga, wameachiwa huru baada ya kuhojiwa kwa saa kadhaa katika Makao Makuu ya Polisi Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS