Yanga yaizamisha Majimaji FC

Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga, imeibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Majimaji FC ya Songea kwenye mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara uliomalizika jioni hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS