Yanga yaizamisha Majimaji FC Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga, imeibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Majimaji FC ya Songea kwenye mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara uliomalizika jioni hii. Read more about Yanga yaizamisha Majimaji FC