"Tulifanya makosa kwa Gabo" -JB Msanii mkongwe wa filamu bongo ambaye ni maarufu kwa kuibua vipaji vya wasanii wengine, Jacob Steven au JB, amesema wao kama wakongwe wa sanaa walifanya makosa kumtengeneza Gabo peke yake. Read more about "Tulifanya makosa kwa Gabo" -JB