Aliyetuhumiwa kwa rushwa CCM apewa dhamana

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Sadifa Juma Khamis anayekabiliwa na shtaka la rushwa ameachiwa kwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma na kuoewa masharti ya kutotoka nje ya Tanzania bila kibali  cha mahakama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS