Nilipata kazi kumtetea - Kikwete

Rais mstaafu wa serikali ya awamu ya nne ya Tanzania na mwenyekiti mstaafu wa CCM, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, ameelezea ugumu alioupata wakati wa mchakato wa kumpata mrithi wake kuiongoza CCM, ambapo aliyependekezwa alikuwa ni Rais John Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS