Nilipata kazi kumtetea - Kikwete
Rais mstaafu wa serikali ya awamu ya nne ya Tanzania na mwenyekiti mstaafu wa CCM, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, ameelezea ugumu alioupata wakati wa mchakato wa kumpata mrithi wake kuiongoza CCM, ambapo aliyependekezwa alikuwa ni Rais John Magufuli.