Damu Kagera zahitajika

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera inahitaji wastani wa uniti elfu ishirini na tano za damu safi ili iweze kukidhi mahitaji wa wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo ambapo miongoni mwao ni watoto umri chini ya miaka mitano, wajawazito na wapatao ajali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS