2017 haukuwa mzuri - JB Muigizaji na muongozaji wa filamu Tanzania Jacob Steven maarufu kama JB, amesema mwaka 2017 hakuwa mzuri kwa wasanii wa tasnia hiyo, kwani soko la filamu kwao lilikuwa la kusuasua. Read more about 2017 haukuwa mzuri - JB