Waliofeli mtihani kuzawadiwa donge nono Shirika la watu wasioamini uwepo wa Mungu nchini Kenya (AIK) limetangaza kuwazawadia watahiniwa waliofeli zaidi kwenye masomo ya dini katika mtihani wa kidato cha nne mwaka 2017. Read more about Waliofeli mtihani kuzawadiwa donge nono