Mbao FC yaitesa Yanga SC

Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania bara klabu ya Yanga, kupitia kwa msemaji wake Dismas Ten imekiri kuwa kupata matokeo dhidi ya Mbao FC imekuwa ni jambo mgumu lakini wamejipanga vyema kwa mchezo wa Jumapili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS