Man Fongo atokwa na 'povu'
Msanii wa miondoko ya singeli Man Fongo amewaomba wasanii wenzake kama kuna yeyote yule anahisi amemuibia kazi yake ya sanaa kwa namna moja ama nyingine basi asisite kwenda kumshtaki Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) ili waweze kuhakiki haki miliki.

