Waliorejesha amani Kibiti wapongezwa

Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amekipongeza kikosi maalum Kibiti kwa kazi waliyoifanya ya kulinda amani katika maeneo ya Kibiti, Rufiji, Mkuranga, na Mafia Mkoani Pwani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS