Dr. Shika asema ukweli kuhusu Babu Seya

Dr. Luis Shika amesema hamjui mwanamuziki Babu Seya na Papii Kocha ambao wametoka jela kwa msamaha wa Rais wa  Jamhuri ya  Muungano  wa  Tanzania John Pombe  Magufuli katika maadhimisho ya miaka 56 ya Uhuru wa Tanganyika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS