Waliorejesha amani Kibiti wapongezwa Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amekipongeza kikosi maalum Kibiti kwa kazi waliyoifanya ya kulinda amani katika maeneo ya Kibiti, Rufiji, Mkuranga, na Mafia Mkoani Pwani. Read more about Waliorejesha amani Kibiti wapongezwa