Wanafunzi 9000 wakosa nafasi
Zaidi ya wanafunzi 9000 waliofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mkoani Katavi wamekosa nafasi ya kuingia kidato cha kwanza kwa mwaka 2018 kutokana na upungufu wa vyumba vya madarasa katika shule za sekondari za halmashauri tatu za mkoa huo.