Asilimia 61 Tanzania kuwa jangwa : Makamba Waziri January Makamba Takwimu zinaonyesha kwamba nchi ya Tanzania ipo hatarini kugeuka jangwa ambapo asilimia 61 ya maeneo ya nchi tayari yapo katika hatari zaidi ya ukame kutokana na ukataji miti hovyo. Read more about Asilimia 61 Tanzania kuwa jangwa : Makamba