Timu za mashindano ya Sprite BBall Kings 2017 zikimenyana vilivyo
Hatua ya mtoano wa awamu ya kwanza michuano ya Sprite BBall Kings timu za Dream Chaser, Kurasini hits, The Fighter na TMT ndizo zilizong'ara leo dhidi ya wapinzani wao katika viwanja vya ukonga jijini Dar es salaam.