Sprite BBALL KINGS yatingisha Dar

UDSM walipotwaa point 42 kwa 5 dhidi ya Dandy

Michuano ya mpira wa kikapu ya 'Sprite BBALL KINGS' iliyorindima leo kwenye viwanja vya JK Park, jijini  Dar es salaam imeacha gumzo kwa wapenzi wa mchezo huo waliojitokeza na kusema hawajawahi kuona mashindano yenye upinzani mkali kama hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS