Babu wa nembo aagwa leo

Jeneza lilibeba mwili wa Mzee Francis Kanyasu

Mwili wa marehemu Mzee Francis Maige Kanyasu  umeagwa leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)  na kusafirishwa na serikali kwenda kijijini kwao Igokero wilayani Misungwi jijini Mwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS