Twiga Stars kukipiga na waarabu wa Dubai

Kocha wa Twiga Stars, Sebastaian Nkoma akizungumza na waandishi

Wachezaji 31 wa timu ya Taifa ya Wanawake 'Twiga Stars' wataingia kambini Juni 7, kwa ajili ya kujiaandaa na michezo miwili ya kirafiki dhidi ya timu za wanawake za Dubai na nyingine kutoka nchini Kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS