Yanga na Wajelajela kumalizana J'mosi hii Mchezo wa Robo Fainali ya Nne ya Kombe la Shirikisho Tanzania Bara kati ya Young Africans na Tanzania Prisons FC utafanyika kesho Aprili 22, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Read more about Yanga na Wajelajela kumalizana J'mosi hii