Jinsi Majani alivyombadilisha Harmorapa
Msanii Harmorapa amekiri kuwa mtayarishaji mkongwe wa muziki Bongo P Funk Majani ndiye amembadilisha kutoka kwenye uimbaji wa rap wa kizamani hadi kufikia kurekodi kiboko ya mabishoo ambayo inaendana sawa na soko la muziki wa sasa.