Porojo za Dodoma haziniumizi - Mdee

Mh. Halima Mdee

Baada ya kupatiwa adhabu ya kutohudhuria vikao vya bunge vilivyobakia Mbunge wa Kawe Mh. Halima James Mdee ameibua mapya na kusema porojo za Dodoma hazimuumizi kichwa na badala yake anaangalia zaidi suala la kumsindikiza Muasisi wa chama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS