Madaktari 209 kutupwa TAMISEMI
Serikali imeagiza Madaktari 209 kati ya Madaktari 258, watakaoajiriwa na Serikali kwa agizo la Rais Dk. John Pombe Magufuli, wapelekwe Ofisi ya Rais Tamisemi ili kwenda kuongeza nguvu kazi na kukabili uhaba wa madaktari maeneo ya vijijini.