Cpwaa asogeza mbele uzinduzi

msanii wa muziki wa bongofleva nchini Tanzania Cpwaa

Kutoka Brainstorm Music, staa wa muziki C Pwaa baada ya kimya cha miezi kadhaa amesema kuwa mpango wake wa kuachia rekodi mpya mwezi huu ameusogeza mbele mpaka mwezi ujao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS