Kipa Ivo Mapunda wakati huo akiichezea Simba SC ya Dar es Salaam Tanzania.

9 Jul . 2016

Kikosi cha timu ya soka yaTaifa ya Tanzania [Taifa Stars].

26 Mei . 2016

Mwamuzi Israel Mujuni Nkongo wa Dar es Salaam [katikati] akiwa na mabosi wa TFF.

23 Mei . 2016

Wachezaji wa timu za Mgambo JKT na African Sports wakichuana wakati timu hizo zilipokutana.

22 Mei . 2016

Beki wa kulia wa timu ya soka ya Yanga, Juma Abdul.

22 Mei . 2016

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga.

21 Mei . 2016

Mchezaji kiraka Erasto Nyoni wa Azam Fc.

19 Mei . 2016

Rais wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania TFF Jamal Malinzi.

19 Mei . 2016

Nahodha wa Simba Musa Hassan 'Mgosi' [kushoto] akijaribu kumtoka beki wa Mtibwa Sugar.

15 Mei . 2016

Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba (kulia) akiwa na mmoja wa makocha waliowasili leo kutoka Hispania, Zebensul Hernandez Rodriguez.

13 Mei . 2016

Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib akikabidhiwa mpira katika moja ya michezo aliyopiga magoli matatu 'hat-trick'

12 Mei . 2016

Kocha Jamhuri Kihwelo wa Mwadui FC ya Shinyanga.

8 Mei . 2016

Kikosi cha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL msimu wa 2015/2016 Yanga SC.

2 Mei . 2016

Winga wa kimataifa wa Tanzania, Farid Mussa akiwa mazoezini katika viwanja vya klabu ya Deportivo Tenerife.

1 Mei . 2016

Viungo wa timu za Simba na Azam Jonas Mkude 'fundi' [kulia] na Salum Aboubakar 'sure boy' wa Azam [kushoto] wakiwania mpira.

1 Mei . 2016