Wanamichezo Olimpiki iliopita wa Tanzania katika picha nchini Uingereza.

7 Jul . 2016

Mmoja wa Madaktari akimhudumia mwanariadha wa Jamaica wa Usain Bolt.

2 Jul . 2016

Bondia Thomas Mashali.

28 Jun . 2016

Bondia Thomas Mashali akiwa na moja ya mikanda aliyotwaa.

14 Jun . 2016

Baadhi ya mabondia wa timu ya taifa wakiwa katika mazoezi.

10 Jun . 2016

Philippe Coutinho akishangilia moja ya mabao yake matatu wakati Brazil ikiibuka na ushindi wa 7-1 dhidi ya Haiti

9 Jun . 2016

Sebastian Perez wa Colombia (kulia) akipasua katikati ya wachezaji wa Marekani.

5 Jun . 2016

Wanariadha wa Tanzania wakichuana katika moja ya mashindano yaliyofanyika hapa nchini.

4 Jun . 2016

Wadau wa mchezo wa Mieleka ya ridhaa wakiuanda uwanja wa mchezo huo.

18 Apr . 2016

Baadhi ya waogeleaji wa Tanzania wakichuana katika moja ya mashindano ya ndani.

1 Apr . 2016

Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi ya Tanzania wakiwasili baada ya kutoka nje walikoenda kushiriki moja ya mashindano.

28 Mar . 2016

Msemaji wa UNICEF Geneva, Christophe Boulierac

3 Feb . 2016

Msemaji wa WHO Christian Lindmeier

27 Jan . 2016

Kiungo mbrazil Emerson De Oliviera Neves Roque (kushoto) akisaini mkataba leo wa kuitumikia klabu ya Young Africans, kulia ni Afisa Habari wa klabu Baraka Kizuguto

1 Dec . 2014

Mshambuliaji wa Yanga raia wa Brazil Gelson Santana JAJA

22 Nov . 2014