Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk,Jakaya Kikwete

7 Oct . 2015

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk, Jakaya Kikwete

12 Aug . 2015

Kamanda wa kikosi cha Usalama barabarani nchini Mohamed Mpinga.

6 Aug . 2015

Marais wa nchi Tano zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo kwa sasa Mwenyekiti wao ni Dkt. Jakaya Kikwete wa Pili kushoto.

26 Mei . 2015

mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM (NEC), Anthony Mavunde.

21 Apr . 2015

Waziri Mkuu wa Zamani Edward Lowassa.

20 Apr . 2015

Rais Paul Kagame wa Rwanda, akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania, wakati kiongozi huyo alipowasili kwa ajili ya mkutano wa wakuu wa nchi zinazounda ukanda wa maendeleo wa kati jijini Dar es Salaam leo.

26 Mar . 2015

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa

26 Mar . 2015

Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Jakaya Kikwete akiteta jambo na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.

23 Mar . 2015

Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umma la India ambalo linashughulikia miradi ya maji na umeme la WAPCOS, R.K Gupta.

18 Mar . 2015

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akimkabidhi rasmi Rais Kikwete uenyekiti wa EAC

21 Feb . 2015

Marais watano wa nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki, Yoweri Museveni wa Uganda, Paul Kagame wa Rwanda, Pierre Nkurunzinza wa Burundi, Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwenyeji wa mkutano Uhuru Kenyatta wa Kenya.

20 Feb . 2015

Aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi Profesa Anna Tibaijuka.

24 Dec . 2014

Moja ya Mitambo ya TPDC.

19 Dec . 2014