Wachezaji wa timu ya Kriketi ya Tanzania chini ya miaka 19.

21 Jun . 2016

Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba (kulia) akiwa na mmoja wa makocha waliowasili leo kutoka Hispania, Zebensul Hernandez Rodriguez.

13 Mei . 2016

Wawakilishi wa Sunderland AFC, TFF na ACACIA wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kusaini mkataba wa kukuza soka nchini.

31 Mar . 2016

Baadhi ya waamuzi na makocha vijana wanaohudhuria semina ya mafunzo ya FIFA kwaajili ya michuano ya Copa coca cola.

26 Aug . 2014

Baadhi ya mabondia wa Tanzania katika picha wakipambana katika michuano ya madola

31 Jul . 2014

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Azam FC.

10 Jul . 2014

Rais wa TFF akiwa na baadhi ya makocha waliohitimu kozi ya ukocha wa CAF Leseni B.

20 Jun . 2014

Baadhi ya walimu wa soka wakiwa katika moja ya semina za mafunzo kutoka CAF.

10 Jun . 2014

Waogeleaji wa Tanzania wakichuana katika moja ya mashindano yakuogelea yaliyoandaliwa na TSA.

8 Jun . 2014