Wachezaji wa timu za Mgambo JKT na African Sports wakichuana wakati timu hizo zilipokutana.

22 Mei . 2016

Nahodha wa Simba Musa Hassan 'Mgosi' [kushoto] akijaribu kumtoka beki wa Mtibwa Sugar.

15 Mei . 2016

Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib [wa mbele] akishangilia moja ya magoli yake akiwa Simba.

14 Mei . 2016

Kocha Jamhuri Kihwelo wa Mwadui FC ya Shinyanga.

8 Mei . 2016

Kikosi cha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL msimu wa 2015/2016 Yanga SC.

2 Mei . 2016

Wachezaji wa Coastal Union wakishangilia moja ya magoli yao mawili waliyoifunga Simba katika mchezo wa robo fainali ya TFF- FA.

11 Apr . 2016

Kaimu kocha mkuu wa timu ya Simba Mganda Jackson Mayanja.

16 Jan . 2016