
Mbunge wa Viti Maalum kundi la NGO's, Neema Lugangira
Kauli hiyo ameitoa hii leo Desemba 17, 2021, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast ya East Africa Radio na kusema kwamba, hata kwenye mitandao ya kijamii wabunge wanawake wanapitia ukatili mkubwa ikilinganishwa na wanaume.
"Bado kuna 'gape' kubwa sana kati ya mwanaume na mwanamke, hata kwenye kugombea kwenye nafasi za uongozi, hata kwenye mitandao ya kijamii kunakuwa na ukatili mkubwa sana wa kijinsia kwetu sisi wabunge wanawake tofauti na wanaume," amesema Mbunge Neema